Methali za Kiswahili - Elimu Centre (2024)

Methali za Kiswahili - Elimu Centre (1)

Updated:January 1, 2024 by Betty Anderson

Searching for Methali za Kiswahili. Today we are going to look at Methali za Kiswahili. You can use them in your saying or writing Isha.

A

  • Ada ya mja hunena, mwungwana ni kitendo.
  • Adhabu ya kaburi aijua maiti
  • Afua ni mbili, kufa na kupona.
  • Ahadi ni deni.
  • Aibu ya maiti, aijua mwosha.
  • Ajali haina kinga wala kufara
  • Aisifuye mvua, imemnyeshea.
  • Akiba haiozi.
  • Ajidhaniye amesimama, aangalie asianguke.
  • Asifuye mvuwa imemnyea.
  • Akili nyingi huondowa maarifa.
  • Akili ni nywele; kila mtu ana zake.
  • Akitaka kaa, mpe moto.

Read: Kiswahili Insha Examples

  • Akipenda chongo huita, huona kengeza.
  • Akuf*ckuzaye hakwambii, Toka.
  • Akupaye kisogo si mwenzio.
  • Akumulikaye mchana; usiku akuchoma.
  • Aliyekando, haangukiwi na mti.
  • Alalaye usimwamshe; ukimwamsha, utalala wewe.
  • Aliyeko juu, mungojee chini.
  • Amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga.
  • Amnyimae punda adesi, kampunguzia mashuzi.
  • Asiye kuwapo na lake halipo.
  • Asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu
  • Asiyekuwapo na lake halipo.
  • Asiyekujua hakuthamini.
  • Asiye kubali kushindwa si mshindani.
  • Asiyesikia la mkuu, huvunja guu
  • Atangaye na jua hujuwa.
  • Avumaye baharini papa kumbe wengi wapo.
  • Avuaye nguo huchutama.

B

  • Baada ya kisa mkasa. Baada ya chanzo kitendo.
  • Baniani mbaya kiatu chake dawa.
  • Baada ya dhiki faraja.
  • Bendera hufuata upepo.
  • Baniani mbaya kiatu chake dawa.
  • Bora afya kuliko mali.
  • Bilisi wa mtu ni mtu.

Read: KCPE Kiswahili Revision Paper With Answers

C

  • Chanda chema huvikwa pete.
  • Chamlevi huliwa na mgema.
  • Cha kuvunda, hakina ubani.
  • Chema chajiuza, kibaya chajitembeza
  • Chombo cha kuzama hakina usukani.
  • Chembe na chembe ni mkate.
  • Cha kichwa kitamu, na cha mkia kitamu.
  • Chovya chovya yamaliza buyu la asali.
  • Cha kuvunja, hakina rubani.
  • Chema hakikai
  • Chombo kilichopikiwa samaki hakiachi kunuka vumba.
  • Chui hageuki madoamadoa
  • Chungu kikuu, hakikosi ukoko.

Read: African Proverbs

D

  • Dalili ya mvua mawingu.
  • Dau la mnyonge haliendi joshi; likienda joshi ni mungu kupenda.
  • Damu nzito kuliko maji.
  • Debe shinda haliachi kutika.
  • Dawa ya moto ni moto.
  • Dunia duwara.
  • Dua la kuku halimpati mwewe.
  • Duniani ni msiba na furaha, kuna ugonjwa na siha.
  • Dunia huleta jema na ovu.
  • E
  • Elimu bahari, haina kuta wala dari.
  • F
  • Fadhila ya punda ni mateke.
  • Faragha ya nyani, huishia ngokoni
  • Fimbo ya mbali hayiuwi nyoka.
  • Fahali wawili hawakai zizi moja.
  • Fuata nyuki ule asali.
  • Fedha fedheha.
  • Fumbo mfumbe mjinga mwerevu huligangua.
  • Fungato haliumizi kuni.

Read: Debate Motions for Secondary Schools in Kenya

G

  • Ganda la mua la jana chungu kaona kivuno.

H

  • Haba na haba hujaza kibaba.
  • Habari ya uwongo, ncha zake saba, habari ya kweli, ncha yake moja.
  • Hapana marefu yasio na mwisho.
  • Hakuna bahari, isiyo na mawimbi.
  • Hakuna siri ya watu wawili.
  • Haraka haraka haina baraka.
  • Hasira, hasara.
  • Hasira za mkizi, tijara ya mvuvi
  • Hakuna kisicho badali.
  • Heri kufa macho kuliko kufa moyo.
  • Heri kujikwa kidole kuliko ulimi.
  • Hiari ya shinda utumwa.
  • Hucheka kovu asiye kuwa na jeraha.
  • Hapana marefu yasio na mwisho.
  • Heri kuliwa na simba, kuliko kuliwa na fisi.
  • Hucheka kovu asiye kuwa na jeraha.

J

  • Jina jema hungara gizani.
  • Jitihadi haiondoi kudura ya mungu.
  • Jogoo la shamba haliwiki mjini.
  • Jino la pembe si dawa ya pengo.
  • Jivu halijai, gao la mkono.

Read: CBC Curriculum Structure

K

  • Kamba hukatika pabovu.
  • Kafiri akufaye si Isilamu asiyekufa.
  • Kama chanda na pete.
  • Kanga hazai ugenini.
  • Kata pua uunge wajihi
  • Kawia ufike
  • Kazi mbaya siyo mchezo mwema.
  • Kelele za mlango haziniwasi usingizi.
  • Kenda karibu na kumi.
  • Kidole kimoja hakivunji chawa.
  • Kidogo ni tamu, kingi ni sumu.
  • Kichache hakikutoshi na kingi hakikulishi.
  • Kiburi si maungwana.
  • Kikulacho ki nguoni mwako.
  • Kila mlango na ufunguo wake.
  • Kila chombo kwa wimbile.
  • Kingiacho mjini si haramu.
  • Kila ndege huruka na mbawa zake.
  • Kimya kingi kina mshindo mkubwa.
  • Kinyozi hajinyoi, akinyoa kujikata.
  • Kipendacho moyo ni dawa.
  • Kipofu haonyi njia.
  • Kila mwamba ngoma ,ngozi huivuta kwake.
  • Kila ndege mwenye mkia ni lazima aringe.
  • Kilio huanza mfiwa ndipo wa mbali wakaingia.
  • Kinga na kinga ndipo moto uwakapo.
  • Kinolewacho, hukata.
  • Kilichom*o baharini, kakingojee uf*ckoni.
  • Kiozacho hutoa uvundo
  • Kipofu hasahau fimbo yake
  • Kinywa ni jumba la maneno.
  • Kipya kinyemi ingawa kidonda.
  • Kisokula mlimwengu,sera nale.
  • Kitanda usicho kilala hujui kunguni wake.
  • Kivuli cha fimbo hakimfichi mtu jua.
  • Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza.
  • Kiwi cha yule ni chema cha;hata ulimwengu uwishe.
  • Kobe atakufa asipojikuna nyumaye mwenyewe.
  • Kosa moja haliachi mke.
  • Konzo ya maji haifumbatiki
  • Kozi mwandada, kulala na njaa kupenda.
  • Kufa kikondoo, ndiko kufa kiungwana.
  • Kufa kufaana.
  • Kuchamba kwingi,kuondoka na mavi.
  • Kuku havunji yai lake.
  • Kukopa harusi, kulipa matanga.
  • Kufa kwa mdomo, mate hutawanyika.

Read: 100 Positive Behavior Quotes for Students

  • Kuku mgeni hakosi kamba mguuni.
  • Kuku wa maskini hatagi mayai.
  • Kuku mwenye watoto, halengwi jiwe.
  • Kucha M’ngu si kilemba cheupe.
  • Kufa si suna,ni faradhi.
  • Kujikwa si kuanguka, bali ni kwenda mbele.
  • Kulea mimba si kazi, kazi kulea mwana.
  • Kuagiza kufyekeza.
  • Kunguru mwoga hukimbiza mbawa zake.
  • Kunako matanga kumekufa mtu.
  • Kumpa mwenzio si kutupa, ni akiba ya mbeleni.
  • Kupanda mchongoma ,kushuka ngoma.own.
  • Kupotea njia ndiyo kujua njia.
  • Kutoa ni moyo usambe ni utajiri.
  • Kusikia si kuona.
  • Kuuliza si ujinga.
  • Kutu kuu ni la mgeni.
  • Kwenye miti hakuna wajenzi.
  • Kwenda mbio siyo kufika.
  • Kweli iliyo uchungu si uwongo ulio mtamu.
READ: Kenya Medical Training College Nyamira Campus

L

  • La kuvunda (kuvunja)halina ubani.
  • Lake mtu halimtapishi bali humchefusha.
  • La kuvunda halina rubani.
  • Leo ni leo asemayo kesho ni mwongo.
  • Lisemwalo lipo,ikiwa halipo laja.
  • Leo uko, kesho huko.
  • Liandikwalo ndiyo liwalo.
  • Likitoka liote.
  • Lipitalo ,hupishwa .
  • Lifaalo kueleza lieleze, lisilofaa limeze.
  • Lila na fila hazitangamani.
  • Lisilokuwapo moyoni, halipo machoni.
  • Lisilo na mkoma, hujikoma lilo.

Read: Best Quotes about Education

M

    • Macho hayana pazia.
    • Maafuu hapatilizwi.
    • Mafahali wawili hawakai zizi moja.
    • Maisha hayana pato, hutupita kama ndoto.
    • Mahaba haiwi mlango.
    • Maiti haulizwi sanda.
    • Maji ukiyavuliya nguo huna budi kuyaogelea.
    • Maji hufuata mkondo.
    • Maji huteremka bondeni, hayapandi mlima.
    • Maji yakija hupwa.
    • Maji usiyoyafika hujui wingi wake.
    • Maji yakimwagika hayazoleki
    • Maji ya nazi, yataka uvugulio tu.
    • Maji yakija hupwa.
    • Maji yaenda njia yake.
    • Maji ya kifuu ni bahari ya chungu.
    • Maji ya moto, hayachomi nyumba.
    • Majumba makubwa husitiri mambo.
    • Mpanda ngazi hushuka.
    • Majuto ni mjukuu.
    • Mali ya bahili huliwa na wadudu.
    • Mambo ya mbele, giza ya wele
    • Mambo ya nyumba, ni kinga.
    • Manahodha wengi chombo huenda mrama.
    • Maneno mema hutowa nyoka pangoni.
    • Maneno makali hayavunji mfupa.
    • Maneno mengi si haja, maneno mengi si huja.
    • Masikini akipata matako hulia mbwata.
    • Maskini haokoti, akiokota huambiwa kaiba.
    • Maskini na mwanawe, tajiri na mali yake.
    • Masikio hayapiti kichwa.
    • Mapema maivu, mapema maovu.
    • Mapaka wengi, hayamkamati panya.
    • Mapenzi ni kikohozi, hayawezi kufichika.
    • Mapenzi ni majani, popote penye mbolea huotea.
    • Mara changu, mara chako
    • Mavi usioyala,wayawingiani kuku?
    • Mavi ya kale hayanuki.
    • Mbio za sakafuni huishia ukingoni.
    • Mbinu hufuata mwendo.
    • Mbiu ya mgambo ikilia ina jambo.
    • Mbuzi wa maskini, hazai mapacha
    • Mbwa hafi maji, akiona uf*cko.
    • Mbinu hufuata mwendo.
    • Mbuge hawezi kujenga nyumba.
    • Mbuzi wa mkata, atakufa utasa.
    • Mchagua jembe si mkulima.
    • Mcheka kilema, hafi bila kumfika.
    • Mchelea mwana kulia hulia yeye.
    • Mchelea bahari si msafiri.
    • Mchagua nazi, hupata koroma.
    • Mchakacho ujao,halulengwi na jiwe.
    • Mchama ago hanyeli, huenda akauya papo.
    • Mchana semani usiku lalani.
    • Mchele moja mapishi mengi.
    • Mcheka kilema hafi bila kumpata.
    • Mcheza kwao hutuzwa.
    • Mchimba kisima huingia mwenyewe.
    • Mcheza na tope humrukia.
    • Mcheza hawi kiwete, ngoma yataka matao.
    • Mchezea zuri, baya humfika.
    • Mchimba kisima, hakatazwi maji.
    • Mchovya asali hachovi mara moja.
    • Mchonga mwiko hukimbiza mkono wake.
    • Mchuma janga hula na wakwao.
    • Mchumia juani,hula kivulini.
    • Mchuma janga hula na wakwao.
    • Mchunga haziki.
    • Mdharau biu hubiuka yeye.
    • Mema na mabaya ndio ulimwengu.
    • Meno ya mbwa hayaumani.
    • Mficha uchi hazai.
    • Mfa maji hukamata maji.
    • Mfinyazi hulia gaeni.
    • Mgaagaa na upwa hali wali mkavu.
    • Mgema akisifiwa tembo hulitia maji.
    • Mganga hajigangui.
    • Mf*ckuzwa kwao hana pakwenda.
    • Mgeni ni kuku mweupe.
    • Mgonjwa haulizwi uji.
    • Mgeni njoo mwenyeji apone.
    • Mgonjwa haulizwi uji.
    • Miye nyumba ya udongo, sihimili vishindo.
    • Milima ya mbali, haina mawe
    • Mjinga akierevuka mwerevu yupo mashakani.
    • Mjumbe hauawi.
    • Mkamatwa na ngozi ndiye mwizi.
    • Mkeka mpya haulaliwi vema.
    • Mkamia maji hayanywi.
    • Mkono moja haulei mwana.
    • Mkono moja hauchinji ngombe.
    • Mkono mtupu haulambwi.
    • Mkono usioweza kuukata, ubusu.
    • Mkosa jembe halimi
    • Mkono wa kuume, haukati wa kushoto.
    • Mkosa kitoweo humangiria.
    • Mke ni nguo ,mgomba kupalilia.
    • Mkosa titi la mama, hata la mbwa hulamwa.
    • Mkulima ni mmoja walaji ni wengi.
    • Mkuki kwa nguruwe mtamu,kwa mwanadamu uchungu.
    • Mla cha mwenziwe na chake huliwa.
    • Mla kuku wa mwenziwe miguu humwelekeya.
    • Mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
    • Mla mla leo mla jana kala nini?
    • Mla mbuzi hulipa ngombe.
    • Mla cha uchungu na tamu hakosi.
    • Mla kwa miwili, hana mwisho mwema.
    • Mlenga jiwe kundini hajui limpataye.
    • Mlevi wa mvinyo hulevuka, mlevi wa mali halevuki.
    • Mlimbua nchi ni mwananchi.
    • Mlinzi hulinda ndege, mke mzuri halindwi.
    • Mnyonge hana hasira.
    • Moja shika,si kumi nenda urudi.
    • Mmoja hashui chombo.
    • Mnyamaa kadumbu.
    • Mnywa maji kwa mkono moja,Kiu yake i pale pale.
    • Mnyonyore haunuki, hupendeza maua yake.
    • Mnyonge hupata haki, ni mwenye nguvu kupenda.
    • Moto hauzai moto.
    • Moja shika, kumi hutapata
    • Moja shika si kumi nenda urudi.
    • Moto wa kumvi,hudumu.
    • Mpanda ngazi hushuka.
    • Mpanda farasi wawili hupasuka msamba.
    • Mpemba akipata gogo hanyii chini.
    • Mpanda ovyo hula ovyo.
    • Mpemba hakimbii mvua ndogo.
    • Mpende akupendaye.
    • Mpof*cka ukongweni,hapotewi na njia
  • Mpiga ngumi ukuta huumiza mkonowe.
  • Msafiri masikini ajapokuwa sultani.
  • Msema kweli, hana wajoli.
  • Mshoni hachagui nguo.
  • Mshale usiyo na nyoya, hauendi mbali.
  • Msasi haogopi mwiba.
  • Mshale kwenda msituni haukupotea.
  • Msema pweke hakosi.
  • Mshika mawili, moja humponyoka.
  • Msitukane wagema na ulevi ungalipo.
  • Msitukane wakunga na uzazi ungalipo.
  • Msika mavi, hayaachi kumnuka.
  • Msi chake ni mwenda zake.
  • Mstahimilivu hula mbivu.
  • Mtaka nyingi nasaba hupata mwingi msiba.
  • Mtaka yote hukosa yote.
  • Mtafunwa na nyoka akiona ung’ongo husitika.
  • Mtaka cha mvunguni sharti ainame.
  • Mtaka unda haneni.
  • Mtegemea nundu haachi kunona.
  • Mtaka yote kwa pupa, hukosa yote.
  • Mtembezi hula miguu yake.
  • Mteuzi hashi tamaa.
  • Mtego bila ya chambo, haunasi.
  • Mtenda mema hasemi, akisema hatendi.
  • Mti hauendi ila kwa nyenzo.
  • Mti huponzwa na tundaze.
  • Mti upigwao mawe ni mti wenye matunda.
  • Mtoto akililia wembe mpe.
  • Mtoto wa nyoka ni nyoka.
  • Mtoto umleyavyo ndivyo akuavyo.
  • Mtondoo haufi maji.
  • Mtoto akibebwa, hutazama kisogo cha mamaye.
  • Mtu hujikuna ajipatiapo.
  • Mtumi wa kunga haambiwi maana.
  • Mtu akimpa maskini kichache, Mungu humruzuku kingi.
  • Mtupa jongoo hutupa na mti wake.
  • Mtu aliyeumwa na nyoka akiona ung’ongo hushtuka.
  • Mtu apandacho (kitu), ndicho avunacho.
  • Mtu pweke, ni uvundo.
  • Mtu asiye na akili, usifuatane naye.
  • Mtu huenda na uchao, haendi na utwao.
  • Mtu hakatai mwito,hukata aitwalo.
  • Mtu halindi bahari, ipitayo kila chombo.
  • Mtu hasafiri nyota ya mwenziwe.
  • Mtu huulizwa amevaani haulizwi amekulani.
  • Mtumi wa kunga haambiwi maana.
  • Mtumikie kafiri upate mradi wako.
  • Mtumai cha ndugu hufa masikini.
  • Mume wa mama ni baba.
  • Mtunza bahari, siye msafiri.
  • Mtumikie kafiri upate mradi wako.
  • Mtulivu hula mbivu.
  • Mtupa jongoo hutupa na mti wake.
  • Mume ni kazi, mke ni nguo.
  • Mungu akikupa kilema, hukupa na mwendo wake.
  • Mume wa mama ni baba.
  • Mungu hapi kwa mvua, wala hanyimi kwa jua.
  • Muhogo mchungu, usiuchezee.
  • Mungu hamfichi mnafiki.
  • Muuliza hujibiwa ili apate fahamu.
  • Mvuvi ajuwa pweza alipo.
  • Mvumbika changa hula mbovu.
  • Mvunja nchi ni mwananchi.
  • Mvungu mkeka.
  • Mvuvi ajuwa pweza alipo.
  • Mwamini Mungu si mtovu.
  • Mwana kila mwaka, ni kubwa baraka.
  • Mwacha asili ni mtumwa.
  • Mwamba na wako hukutuma umwambiye.
  • Mwana maji wa kwale kufa maji mazowea.
  • Mwana mkaidi hafaidi mpaka siku ya Idi.
  • Mwana mkuwa nawe ni mwenzio kama wewe.
  • Mwanadamu atakufa, jina lake litakaa.
  • Mwanamaji, hutaraji kufa maji.
  • Mwanamume ni mbono, hualikia kule.
  • Mwana wa kuku hafunzwi kuchakura.
  • Mwanga mpe mtoto kulea.
  • Mwana simba ni simba.
  • Mwanzo kokochi mwisho nazi.
  • Mwana wa mtu ni kizushi; akizuka, zuka naye.
  • Mwangaza mbili moja humponyoka.
  • Mwanzo wa ngoma ni lele.
  • Mwanzo wa chanzo ni chane mbili.
  • Mwenda bure si mkaa bure huenda akaokota.
  • Mwenda mbio hujikwa kidole.
  • Mwenye kelele hana neno.
  • Mwenye huba, hana dawa, ila kwa muhibiwa.
  • Mwekaji kisasi haambiwi mwerevu.
  • Mwapiza la nje hupata la ndani.
  • Mwekaji kisasi haambiwi mwerevu.
  • Mwenda tezi na omo marejeo ngamani.
  • Mwenye chake, hakosi cha mwenziwe
  • Mwenye nguvu mpishe.
  • Mwenye pupa hadiriki kula tamu.
  • Mwenye kovu, usidhani kapoa.
  • Mwenye kuchinja hachelei kuchuna.
  • Mwenye shibe hamjui mwenye njaa.
  • Mwenye kutafuta, hakosi kupata.
  • Mwenye shoka hakosi kuni.
  • Mwenye kovu, haliwai na kidonda.
  • Mwenye kovu usidhani kapowa.
  • Mwenye kupenda ni juha.
  • Mwenye kuchinja hachelei kuchuna.
  • Mwenye kisu kikali ndiye alaye nyama.
  • Mwenye kupanda ngazi, na mwenye kushuka ngazi, hawapeani mkono.
  • Mwenye macho, haambiwi tazama.
  • Mwenye kuumwa na nyoka akiona jani hushtuka.
  • Mwenye njaa hana miiko.
  • Mwenye shibe hamjui mwenye njaa.
  • Mwenye tumbo ni tumbole, angafunga mkaja.
  • Mwenzako akinyolewa wewe tia maji
  • Mwili wa mwenzio ni kando ya mwilio.
  • Mwibaji na watwana, mlifi ni mwungwana.
  • Mwiba wa kujitoma, hauambiwi pole.
  • Mwizi, siku zake ni arobaini
  • Mwosha hadhuru maiti.
  • Mwosha husitiri maiti.
  • Mwomba chumvi huombea chunguche.
  • Mzazi haachi ujusi.
  • Mzigo wa mwenzio ni kanda la usufi.
  • Mzoea punda, hapandi farasi.
  • Mzowea kutwaa, kutoa ni vita.
  • Mzika pembe ndiye mzua pembe.
  • Mzoea udalali, duka haliwezi.
  • Mzungu Wa kula hafundishwi mwana.
READ: Best Secondary Schools in Samburu County

N

  • Nahodha wengi, chombo huenda mrama.
  • Nazi mbovu harabu ya nzima.
  • Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu
  • Ncha na ncha, hazichomani
  • Ndugu mwui afadhali kuwa naye.
  • Ndugu chungu, jirani mkungu.
  • Ndege mwigo hana mazowea.
  • Na tuone ndipo twambie, kusikia si kuona.
  • Ndege hulindwa, mke halindwi.
  • Ndimi arobaini, mafundo arobaini.
  • Ndugu wakigombana, chukua jembe ukalime, wakipatana chukua kikapu ukavune.
  • Ndovu halemewi na pembe zake.
  • Neno ulikataalo, ndilo Mungu apendalo.
  • Ngoja! ngoja? huumiza matumbo.
  • Ngoma ivumayo haidumu.
  • Ngozi ivute ili maji.
  • Ng’ombe haelemewi na nunduye.
  • Ng’ombe avunjikapo guu hurejea zizini.
  • Ngoma ivumayo haikawii kupasuka.
  • Nguruwe aendealo, ndilo atendalo.
  • Nguo za kuazima, hazisitiri matako.
  • Nifae na mvua nikufae na jua.
  • Ni heri mbichi, kama ya kwoka.
  • Ni jambo lipi, lisilo na nduguye, na mwamu wake.
  • Nia njema ni tabibu, nia mbaya huharibu.
  • Nimekula asali udogoni, utamu ungali gegoni.
  • Njia ya mwongo fupi.
  • Njaa ya leo, ni shibe ya kesho.
  • Njema haziozi.
  • Njia ya siku zote haina alama.
  • Nyota haionekani mchana.
  • Nyani haoni kundule, huliona la mwenziwe.
  • Nta si asali nalikuwa nazo si uchunga.
  • Nyoka, mlinzi wa pango lake.
  • Nyumba haikimbii.
  • Nyumba usiyolala ndani huijui ila yake.
  • Nzi kufa juu ya kidonda Si haramu.
  • Nyumba ya udongo haihimili vishindo.
  • Njia mbili zilimshinda mzee fisi, alipasuka msamba.
READ: Kenya Industrial Training Institute - Courses, Intake, Location, Contacts

P

  • Padogo pako Si pakubwa pa mwenzako.
  • Paka akiondoka, panya hutawala.
  • Pabaya pako si pema pa mwenzako.
  • Painamapo ndipo painukapo.
  • Paka wa nyumba haingwa.
  • Paka hakubali kulala chali.
  • Papo kwa papo kamba hukata jiwe.
  • Panapo wengi hapaharibiki neno.
  • Pema usijapo pema; ukipema Si pema tena.
  • Penye kuku wengi hapamwagwi mtama.
  • Penye mafundi, hapakosi wanafunzi.
  • Penye dhiki, hakuna chuki.
  • Penye miti hakuna wajenzi.
  • Penye urembo ndipo penye urimbo.
  • Penye nia ipo njia.
  • Penye wazee haliharibiki neno.
  • Penye wengi pana mengi.
  • Penye wengi pana Mungu.
  • Pesa na zawadi hufanya miadi.
  • Pilipili usozila zakuwashiani?
  • Pwagu hupata pwaguzi.
  • Punda haendi ila kwa kigongo.
  • Punge moja ya mtama, ni bora kuliko almasi.
  • Pofu hasahau mkongoja wake.

R

  • Radhi ni bora kuliko mali

S

  • Samaki mmoja akioza, huoza wote.
  • Sahani iliyofunikwa, kilichom*o kimesitirika.
  • Shimo Ia ulimi mkono haufutiki.
  • Shika! Shika! na mwenyewe nyuma.
  • Samaki huanza kuoza kichwani.
  • Shibe ya mtu mwingine hanilazi mnene.
  • Saburi ni ufunguo wa faraja.
  • Shoka lisilo mpini halichanji kuni.
  • Shimo la ulimi mkono haufutiki.
  • Sikio la kufa halisikii dawa.
  • Sikio halilali na njaa.
  • Sikio halipwani kichwa/Sikio halipiti kichwa.
  • Sikio halipwani kichwa.
  • Siku njema huonekana asubuhi.
  • Simba mwenda kimya(pole) ndiye mla nyama.
  • Siku utakayokwenda uchi, ndiyo siku utakayokutana na mkweo.
  • Subira ni ufunguo Wa faraja.
  • Subira yavuta heri, huleta kilicho mbali.
  • Sumu ya neno ni neno.
  • Suluhu haija ila kwa ncha ya upanga.
  • Sitafuga ndwele na waganga tele.
  • Simbiko haisimbuki ila kwa msukosuko.

T

  • Tamaa mbele, mauti nyuma.
  • Teke Ia kuku halimwumizi mwanawe
  • Tamu tulikula sote, na uchungu vumilia.
  • Tonga si tuwi
  • Taratibu ndiyo mwendo.
  • Tabia ni ngozi.
  • Tajiri na maliye,maskini na mwanawe.
  • Taratibu ndiyo mwendo.
  • Titi la mama li tamu.

U

  • Udongo uwahi ungali maji
  • Ukenda kwa wenye chongo, vunja lako jicho.
  • Uchungu wa mwana, aujua mzazi.
  • Ucheshi wa mtoto ni anga Ia nyumba.
  • Ukiona neno, usiposema neno, hutapatikana na neno.
  • Ubishi mwingi, huvuta matata
  • Udugu wa nazi hukutania chunguni
  • Ukiona kwako kunaungua kwa mwenzako kunateketea.
  • Uchwelewapo na jua lala pale.
  • Ujinga wa kuuza si baradhuli wa kununua.
  • Ukiona vinaelea, vimeundwa.
  • Ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni.
  • Ukitaka uzuri sharti udhurike.
  • Ukamba hukatika pabovu.
  • Ukiona neno, usiposema neno, hutapatikana na neno.
  • Ulimi hauna mfupa.
  • Ukikosa titi la mama, hata la mbwa huamwa
  • Ukiona zinduna, ambari iko nyuma.
  • Ukila na kipofu sahani moja, usimguse vyanda.
  • Ukienda kwa wenye chongo, vunja lako jicho.
  • Ukipewa shibiri usichukue pima.
  • Ukupigao ndio ukufunzao.
  • Ukistaajabu ya Mussa utaona ya Fir-Auni.
  • Ukitaja nyoka, shika fimbo mkononi.
  • Ukuukuu wa kamba Si upya wa ukambaa.
  • Ukitaka cha mvunguni, sharti uiname.
  • Ukitaka uzuri sharti udhurike.
  • Ulacho ndicho chako, kilichobaki nicha mchimba lindi.
  • Ulipendalo hupati hupata ujaliwalo.
  • Ulimi unauma kuliko meno.
  • Ulivyoligema utalinywa.
  • Umekuwa bata akili kwa watoto?
  • Umekuwa jeta hubanduki?
  • Umwepuke, mwenda-pweke.
  • Ungalijua alacho nyuki, usingalionja asali.
  • Usiache kunanua kwa kutega.
  • Upikapo samaki, huachi kunuka vumba.
  • Uniponye kwa jua, nitakuponya kwa mvua.
  • Umekuwa nguva, huhimili kishindo?
  • Unamlaumu mwewe, kipanga yuwesha kuku.
  • Ushikwapo shikamana.
  • Usiache mbachao kwa msala upitao.
  • Usigombe na mkwezi, nazi imeliwa na mwezi.
  • Usiyavuke maji usiyoweza kuyaoga.
  • Usitukane wakunga na uzazi ‘ungalipo.
  • Usijifanye kuku mweupe.
  • Usile na kipofu ukamgusa mkono.
  • Usisahau ubaharia kwa sababu ya unahodha.
  • Usisafiriye na nyota ya mwenzio.
  • Usimwamshe aliyelala utalala wewe.
  • Usinivishe kilemba cha ukoka.
  • Usicheze na simba, ukamtia mkono kinywani.
  • Usidharau kiselema chalima kikapita jembe zima.
  • Usipoziba ufa utajenga ukuta.
  • Uta hauui bila upote
  • Uzuri wa mke nguo, wa ng’ombe kulimwa.
  • Uzuri wa mkakasi, ndani kipande cha mti.
  • Uzuri wa godoro wa nje tu, kwa ndani mna pamba
  • Usiwashe taa, nyumbani mwa kipofu.

V

  • Vita havina macho.
  • Vita ya panzi, furaha ya kungu.
  • Vikombe vikikaa pamoja, havina budi kugongana.
  • Vita vya panga, haviamuliwi na fimbo.

W

  • Waraka hauishi maneno.
  • Watafutao, wapata.
  • Wanao usawa gani, hakimu na baradhuli.
  • Wakati wa hari, watu wagombea kisima kimoja.
  • Wapiganapo fahali wawili ziumiazo ni nyasi.
  • Waraka ni nusu ya kuonana.
  • Wema hauozi.
  • Wengi wape.
  • Werevu mwingi, mbele kiza
  • Weka siri moyoni, kunena ni kutolea.
  • Watatuavu, hutatua.
  • Watu wawili hawashibi: mtaka elimu na mtaka ulimwengu.

Y

  • Yu fahali nyati na mali hapati.
  • Yaliyopita, yamepita, yaliyobaki, tuyatupe.
  • Ya kunya, haina wingu.
  • Yapitayo hayabadiliki, na yajayo hayaelimiki.

Z

  • Zito huwa pesi (nyepesi) ukilichukua.
  • Zimwi likujualo halikuli likakwisha.

Methali za Kiswahili - Elimu Centre (2)

Betty Anderson

Betty is a qualified teacher with a Bachelor of Education (Arts). In addition, she is a registered Certified Public Accountant. She has been teaching and offering part-time accounting services for the last 10 years. She is passionate about education, accounting, writing, and traveling.

Methali za Kiswahili - Elimu Centre (2024)
Top Articles
Latest Posts
Article information

Author: Virgilio Hermann JD

Last Updated:

Views: 6121

Rating: 4 / 5 (41 voted)

Reviews: 80% of readers found this page helpful

Author information

Name: Virgilio Hermann JD

Birthday: 1997-12-21

Address: 6946 Schoen Cove, Sipesshire, MO 55944

Phone: +3763365785260

Job: Accounting Engineer

Hobby: Web surfing, Rafting, Dowsing, Stand-up comedy, Ghost hunting, Swimming, Amateur radio

Introduction: My name is Virgilio Hermann JD, I am a fine, gifted, beautiful, encouraging, kind, talented, zealous person who loves writing and wants to share my knowledge and understanding with you.